Friday, November 5, 2010

Najaribu kuvuta picha ya miaka kadhaa tulipokuwa tukitoza ushuru kule shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko, sikutegemea kama kuna siku tungekuwa separate way lakini poa tu ndo maisha yanavyotaka. Nakumic sana best yangu Law.
Sharobalo LAW MBETENI katika poz.

 Unanikumbusha kwa Mzee KIJINO







No comments:

Post a Comment